PENZI HUFA...BESTFRIEND HUDUMU:



Image result for PENZI HUFA...BESTFRIEND HUDUMU:
Watu huanza Mapenzi kwa Mbwembwe 
sana...always..utaonyeshwa vitu mpaka utajiuliza 
"Alikuwa wapi siku zote Malaika huyu wakati 
nateseka na Mapenzi"..Muda unapokwenda Penzi 
huanza kuchuja taratibu na unagundua huyu 
"Malaika' nae ni walewale tu...Hii ni Law of 
Diminishing Marginal Utility ,ipo tu kataa au kubali...Na hapo ndipo URAFIKI WA 
KWELI huokoa jahazi 
Wale ambao hupata mihemko ya kufunga Ndoa baada ya kukutana miezi 4 tu,kipindi bado Mihemko ya Penzi iko juu sana na kusahau kuna 
LAW itaaply very soon ndo huangukiaga pua bila 
kutegemea 
ALWAYS GET MARRIED TO YOUR BESTFRIEND 
- Huwezi   kumdanganya  Bestfriend wako 
-Huwezi kumuumiza Bestfriend wako 
-Huwezi kuona Bestfriend wako hana raha 
-Huwezi kumkosesha Amani Bestfriend wako 
-Huwezi kumuacha Bestfriend wako 
-Huwezi kumsaliti Bestfriend wako 
Wengi tunaoa WAPENZI WETU badala ya 
BESTFRIENDS....So wrong...Wazungu wanasema 
"Theres a thin line between Love and 
Hate"...Watu wanaoana leo kwa 
mbwembwe,miaka 3 unasikia Mme kamuua 
Mkewe kwa Shoka...WHAT HAPPENED???Same 
Love imegeuka kuwa Terrible Hatred!! 
Ukioa/Kuolewa na BESTFRIEND WAKO ni raha 
sana,unakuwa huru kuongea na kufanya lolote 
mbele yake maana Bestfriend ni mtu 
anayekuelewa zaidi kuliko hata babako mzazi 
unayeweza kumuektia wewe ni mtoto mzuri 
kumbe kitaani unakula wida 
Huwezi kumjua Bestfriend kwa Miezi 3...Wazazi 
wetu walikuwa na akili..Hawakukurupuka...Sisi 
tunajifanya wazee wa ndoa za MKUKUTA na 
FAST-TRACKING,Miezi 6 unaoa...Ndoa zote
unazoona Wanandoa wana miaka nenda rudi 
wanapendana kama makinda ya Njiwa..Waulize 
vizuri...utagundua wale sio WAPENZI TU....Ni 
Bestfriends!! 
Sahau PARAGRAPH yoote hii ila kumbuka hili 
tu...MARRY YOUR BESTFRIEND.









USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

No comments:

Theme images by pollux. Powered by Blogger.