SIKIA...
Usiwe na ushuhuda mbovu wa mapenzi kwa watu...
Kama ya kwako hayakuendei vizuri jiulize nini ufanye ili usonge mbele sio kwenda na kuharibu furaha za watu na kuzifanya huzuni utalaaniwa...
Pigania unapoamini na waombee wanaofanikiwa ili nawe Mungu akupe fursa ya kufanikiwa....barikiwa...😀
No comments: