JIMAMA TAMU SEHEMU YA 30

Image result for jimama tamu 15

JIMAMA TAMU
Mtunzi-Mniga Mputa
Sehemu. Ya. 30
WhatsApp:0678926045
Usijari mishe Kama hizi tunafanyaga kwenye msitu huo hapo mbele, alionge Jeni huku akimuonesha mniga msitu uliekuwa mbele yao,
'"Oh kumbe ndomaana mzee alisema tuwe makini Sana basi hakunashida, aliongea mniga huku Safari inaendelea kwa kasi Sana hawakuchukuwa muda Sana walifika katikati ya msitu na kuikuta gari nyingine imepaki kwa mbele yao hapo dereva wa kinajeni alisimamisha Kama hatua kumi ili awafikie, basi vikashuka njemba za Jeni zile tatu na Jeni akashuka pamoja na mniga na ile gari nako zikashuka njemba nne huku kauzu kinoma rasta zinafanya kuwafunika macho wakapeana ishara Jeni na njemba zile harafu jeni akamgeukia mniga na kumwambia Sauti ya chini Sana,
PASTE YOUR CODE HERE
'"Mniga kuwa makini kunilinda Mimi maana ndo nawapelekea blufikes na wenyewe wanipe lakwao, aliongea jeni na kuanza kwenda huku na kule kunajamaa alikuwa anamfata Jeni huku kashika nae blufikes yani wakutane katikati, kweli wakakutana na kila mmoja akamuonesha mwenzie mzigo wake kila mmoja akalizika na wakabadilishana mablufikes huku Jeni akianza kurudi kwenye gari yetu na yule akirudi kwenye gari yao mara ile Jeni anamkalibia tu akastusha na sauti iliomwambia,
'"egaizi mjinga mjinga Kama wewe huwezi kwenda na pesa zote hizo Malaya wewe, iliongea jamaa moja hivi ambalo limepanda hewani kweli na limejazia kwa misuri,
'"kwahio Kama hatuwezi kwenda na pesa zenu tupeni madawa yetu bhana, aliongea mniga kwa kujikaza,
"'hahahahaa nyamaza wewe mtoto wa Malaya unaonekana mgeni kwanza kwenye biashara hii Kama mnataka kurudi kwenu wazima tupatieni hizo pesa fasta, ililiongea njemba ile huku ikimcheka mniga,
'"usintishie mtoto wa Malaya mwenyewe Kama mmeshindwa biashara turudishie chetu na wewe ubebe chenu hapa, aliongea mniga,
'"hapa hampati kitu pesa tunabeba na madawa tunabeba jinga nyie, ililiongea jamaa ile na kuanza kuwasogelea,
'"hahahahaa Kama ndo hivo hapa hupati kitu mshenzi mkubwa wewe, aliongea mniga kwa kujiamini Sana, huku akimuweka jeni nyuma yake Mara jine akaongea,
'"magambo mbona mnashangaa tu au hamuoni tunataka kuzurumiwa njooni fasta mnilinde Mimi nikimbie na pesa haraka, aliongea Jeni, huku zile njemba alizokuja nazo zikaanza kusogea eneo la tukio ambapo lili njemba likamfikia mniga na kutaka kurusha ngumi, mniga akanepa na kumtandika kiwiko cha mbavu hadi njemba ile ikacheua damu huku jeni akapata mwanya na kupanda kwenye gari na zile njemba zake wakawasha na kasi ya ajabu wakaondoka huku wale maaduwi zao walipiga risasi ila wapi hazikuingia wakasepa sasa akabaki mniga peke yake huku akiendelea kulipa dozi njemba lile Mara wale majambazi sasa wakashuka kwenye gari na kuanza kumuweka kati kati mniga ambae nae alianza kutetemeka sasa huku ile njemba ilikuwa hoi Sana kwa Kipigo cha mniga ambae uoga ulimuondoka pale alipokumbuka kuwa nguo alizovaa haziingii risasi hapo alimtaimu mmoja na kumtandika,
INAENDELEA BAADAYE SAA siku ya kesho


USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

No comments:

Theme images by pollux. Powered by Blogger.