Mwenye hofu ya Mungu hawezi kukufanyia ukatili wowote maana anatambua kwamba kufanya hivyo ni kinyume na matakwa ya Mungu. Ukimpata mtu wa aina hiyo usimkwaze, mtie moyo na muiboreshe safari yenu kila siku Kosoaneni kwa busara, msahihishe mwenzako kwa kutumia hekima pale unapoona ameenda mstari usio sahihi, mvumiliane na mtashangaa miaka inakatika tu mkiwa pamoja.
Nifuate Instagram & Facebook; Erick Evarist, Twitter: ENangale.
No comments: