Mtoto wa x wako

Unajisikiaje pale unapoenda kumtembelea mtoto wako uliyezaa na x na kutokana na sababu ambazo hazikuweza kuzuilika ukajikuta hauwezi kuishi na mzazi wake pamoja na mtoto. Unamkuta yuko mchafu,kupata mahitaji yake muhimu ni shida au wakati mwingine anashindia mlo mmoja, na kwa bahati mbaya mtoto amefanana na wewe.Je utachukua hatua gani?



USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

No comments:

Theme images by pollux. Powered by Blogger.