💋JAMANI GOLI LA ASUBUHI💋 💋LINAUMUHIMU WAKE 💋MPE MUMEO GOLI TAMU LA💋 💋ASUBUHI💋

UTAMU KITANDANI APP
😍
 Mwanaume aliyekamilika lazima aamshwe asubuhi. Tena siyo kwa kurukaruka, la hasha! Mwamshe kwa utulivu,unapomwamsha mumeo asubuhi kwakumpa k.....a asubuhi na mapema kabla hamjatoka kitandani..... unajuwa kinachomtokea? moja utamwondolea uchovu👌🏽utamchangamsha👌🏽nakumfanya mwepesiiiiii na hapo atakuwa tayari kwa ujenzi wa taifaa hata chapa kazi hatari
😍Nadhani mpaka sasa ushajuwa mumeo unamwamshaje si ndio eee haya tuendelee
Na hii inawahusu hasa wale wanawake wanao amka nakujifanya wapo bize kazi ndo kila kitu hivi ngoja niwambie mumeo akitoka akaenda kuamshwa na wenzio huko nnje hiyo kazi unayokimbilia mbiombio nakuiwaza muda wote itafanyika mwingine akiwa na mabiashara ndo kabisaaa ukiuliza oooh mzigo umepanda mzigo umeshuka ooooh madeni ooooh nyoho nyoho fulu kujipa ubizee akidakwa huyo na wadakaji waliotoka kufundwa kwenye JUMBA LA MAHABA wakafundikaaaaaa👌🏽👌🏽 shogaa atageuka huyo atakukumbuka huyoo ....hata hizo biashara unazozizungumzia nakujipa ubize nazo utazifanya kweliiiii he he heeeeee halloooooo shauliloooo👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
😍😍Mwingine anakurupuka SAA kumi za usiku ukiuliza nn anawahi usafi wa nyumba eti mume amuone ni msafii acha mambo hayo we we mpe mumeo kiamshiooo ,unapoacha kumuamsha mumeo unamwacha na uzito wake anashindwa Ku Fanya kazi kwa ufasahaa.kazi kwenu wavivu wajuzi wa kazi maofisini mahodari wa biashara na wale wanaomkia vibarazani mwa watu nakuwacha waume zao ndani kwenda kupiga umbea,mume kwanza ndo aliekutowa kwa wazazi wenuuu au shuri zenuu.
😍😍Naomba nitowe angalizo hapa simanishi kila siku eee maana hapa kama nawaona macho yalivyowatoka mlivyowapania watoto wawatu unaweza ukamwamsha Mara tatu kwa wiki pangilia vzuri siku zako za kumuamshaa hizi siku tatu unaweza ukazipanga na kuzichaguwa zile siku unazohisi atakuwa bize sana kazini we ndo unampunguzia uchovuu ,mm nimekwambia tatu lakini unaweza kwenda siku saba kama kama unanguvuu ahahahhaha upo

 👌🏽👌🏽

Unamwamshaje?amka alfajiri anza uchokozi kwa kumuamsha taratibu tenshuo ndo muda wa kumwonyesha utalaamu wako wote na kumfanya hawe tayari kupokea kiamshio toka kwako ,maana muda uwo ye atakuwa na mawazo ya kazi tu hivyo utamsaidia kumfanya amke akiwa mchangamfuuu 👌🏽👌🏽👌🏽
😍😍Mwisho nakukumbusha kuwa karibu na haziba wako hii itakusaidia kumjuwa vzuri mkikaa pamoja mguse guse mpapasee hii itamsaidia kumfanya akutamanii muda wotee 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽haya mie nishatimiza wajibu wangu kukukumbusha kazi nakuachia weweeeeee 👌🏽👌🏽
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍👌🏽👌🏽👌🏽




USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

No comments:

Theme images by pollux. Powered by Blogger.