Chombezo : Dada Emmy (Muuza Ubuyu) Sehemu Ya SABA(7)




Nilipita hadi jikoni nikachota maji na kumletea na kujitia ujasiri ili mama asifahamu chochote ila aliponitqzama akajawa hofu.
"Upo sawa wewe? Aliuliza mama
" nipo mama" nilijibu kwa hofu
"Upo ndio nakuona ila mmeshindaje?
" mama salama vipi hospitali?
Aliamua kutaka kupotezea mada
*********
Salum alikuwa rafiki mzuri wa jose sema salum akubahatika kufaulu kwenda form five na six yeye alikuwa ni fundi kinyonzi siku zilisonga alitambulishwa kwangu kama shemeji hivyo nilimumpenda pia kwani alikuwa ni mshechi mno na alipnda utani hamna mfano.
Mara zote salum alikuwa akiasha kazi yke ya kunyoa na kuja kunisaidia jioni kule mnadani uwepo wake pale hata faida niliiona maana sikudhurumiwa tena kama hapo awali.
Niliishi nae na nilimfanya mtu ambaye mwenye kunipa furaha shemeji yangu huyu, alikuwa na sifa nyingi sana za kuwa rafiki nikajikuta zile shida za kuingiliwa na baba yangu nikawa nazisahau taratibu.
Kuna siku nilikuwa nakaribia period(menustration cycle) ambayo muda wowote kwanzia hapo ningeingia nakumbuka ilikuwa ni asubuhi nyingine tena ya pilika kwa upande wangu, mama angalau matunda yake ya kwenda hospitali yalianza kuonekana kwa miguu ilipungua mno na kuwa kama awali kwangu ilikuwa ni furaha sana kwani uzima wake kwangu ni faraja kubwa.
Wakati naandaa biashara yeye alikuwa anaenda hospitali, kama kawaida yake mzee alishazoea kunifanyia ukatili alifanya hata siku hiyo bila ridhaaa yangu akanikaba na kuanza kuniingilia niliumia mno maana tarehe ile ilikuwa ni mbaya. Alipomaliza kuejaculate/kukojoa akanyanyua na kufunga taulo lake hapo ndipo mama akaingia na kutukuta pale chini sakafuni.
"Baba fatu naomba kadi yangu nilihisahau, fatuma mmeanza lini mchezo huu na baba yako? Aliongea mama huku anatoa machozi
Sikuweza kujibu zaidi ya huyo mmewe akijibaraguza
" fatu piga deki na huko uvunguni"
"Fatuma mwanangu asante mama baba fatu hiyo laana itakutesa maishani mwako mwote" alirudia maneno ambayo niliwahi kuyasema kwake ghafla tulisikia kishindo kikubwa kutazama mbele alikuwa ni mama ameanguka huku damu zikimtoka.
*************
Usione mtu analia ujui ni nini kilichopo moyoni mwake au ana uchungu kiasi gani ila mimi fatuma(mama bakari) nilimchukia mno baba yangu kama nimchukiavyo shetani kwani mpk hapo nilishampoteza mama yangu ambaye ndiye faraja yangu, ndiye kiongozi wangu na ndiye aliyekuwa mfariji wangu kamwe sitamsamehe baba.
Niliishi peke yangu baada ya baba kukimbia hata kwenye mazishi ya mama akuwepo, ilikuwa ni huzuni kwangu ila bado sikupoteza nguvu ya kutafuta maisha. Nilikaa mwezi mmoja ndipo nilipoanza kujihisi hali yangu tofauti maana nilikuwa mchovu na nilikuwa nakichefuchefu "mungu wangu isije ikawa mimba nitaficha wapi sura yangu" nilijisemea moyoni nikijitazama kwenye kioo wakati najaribu kufumua nywele zangu ili Ramla(mpenzi wa salum) aje kunisuka.
Nilijitahidi kuonyesha furaha usoni mwangu ila moyo wangu ulijaa uchungu sana hata wakati Ramla akiendelea kunisuka yeye ndiye alikuwa muongeaji zaidi mimi nikiitikia tu. Nilifikiria ni nani nitakayemshirikisha hili jambo mana nilizidi kuteseka nalo.
Tukiwa pale alikuja jose mpenzi wangu akunisalimu alimuita Ramla pembeni takribani dakika kumi walikuwa huko mpka mimi nikaanza kusinzia, nilishtuka Ramla aliponikanyaga.
"Vipi shoga" niliongea
"Achana na mimi mnafki mkubwa wewe wa kutembea na salum? Fyooooo na utaama kijiji hiki nakwambia ushoga mimi na wewe basi"
Aliongea maneno ambayo sikumuelewa
"Umepatwa na nini Ramla"
"Nakwambia sitaki ushoga na wewe kama vipi kila mtu na 50 zake" aliongea na kuondoka.
***************
Maisha yangu yalizidi kuwa magumu maana hata marafiki nao walianza kunitenga nakumbuka siku hiyo jioni nikiwa napita kwenda sokoni nilishangaa navutwa mkono kuangalia vizuri alikuwa ni salum.
"Fatuma vipi" aliongea kwa kuhema mno
"Pouwa niambie mbona unahema hivyo?
" fatuma mambo si mambo umeyasikia ya kuyasikia? Aliongea salum bado sikupata picha.
"Hapana sijasikia"
"Nimetoka kuonana na rafiki yako Ramla muda punde tu hapa anadai mimi na wewe ni wapenzi na anachosema tuachane ila laxima atalipa kisasi"
"Kheeeee salum huo upenzi umeanza lini jamani? Nilihoji kwa mshangao
" we acha hapa namtafuta jose nijue mstakabali unakuwaje"
Niliashana na salum nikaenda zangu kununua bidhaa soko wakati narudi nilimkuta jose na Ramla wakipeana romance nje yq nyumba yetu nilichoka nikakaa chini sikuamini jose anaweza kunifanyia vile, walinitazama wakaniacha na kuondoka zao huku ramla akisema kwa kejeri "chefuuuuuu na bado utazimia"
Matatizo yaliniandama mno nakumbuka siku ya pili yake usiku nikiwa nimelala jose alikuja na kugonga nikamfungulia kumbe alikuwa na rafiki zake wawili waliingia ndani kwa vurugu wakanibaka kwa zamu na kisha kunikejeri *bikra utakuwa wewe bwana"
Nililia mno hapo ndipo nilipata wazo la kuondoka pale handeni niende dar
*************
Nilianza safari ya kuja dar kwa shangazi yangu anayeishi mbezi kimara baada ya kuona hali ya kijijini kule ni mbaya dar sikuwa mgeni kwa mara kadhaq nilikuwa naenda na kurudi tanga hivyo nilipafahamu japo sio sana.
Mimba yangu ilikuwa bado ya miezi miwili na unene wangu isingekuwa rahisi kunijua hata shangazi hakujua pia. Nilijua pale nitapata furaha angalau nipate mwangaza wa kupata kazi ya kuweza kujikwamua kimaisha ila hata kabla ayo kutimia likaibuka jingine mume wa shangazi yangu akaanza kunitongoza.
nilimshangaa sana mjomba kunitongoza mimi na huku mke wake(shangazi) alikuwa na sifa kedekede kunizidi hata mimi, ila siku zote wanaume ni watu wa tamaa unaweza kumpa wanawake hata mia wazuri ukamwambia chagua mmoja mzuri akamchagua na bado hatajilaumu kupoteza wale 99 waliobaki. Nilikuwa nampiga chenga kila siku japo nilitumia indirect/mkato maana nilichohitaji ni kulizoea jiji la dsm kisha nipate fursa ya kuondoka pale nikaanze kazi.
"Fatumaaaaaaa" aliita shangazi walikuwa ndio wanarudi kutoka mihangaikoni.
"Abeeeeee shangazi".
" kuna nafasi za jeshi zimejitokeza nikuchukulie fomu ujaze?
"Aaaha shangazi asante lakini" nilikatishwa..
"Lakini tena nafasi haiji mara mbili shanhazi" alidakia mjomba haraka.
"Ila nina tatizo shangazi" ilibidi niweke bayana.
"Tatizo! Tatizo lipi? Kama utaki jeshi wee nenda kapike shaurilo mwenyewe umeridhika na kuwa house maid/dada wa kazi" aliongea shangazi
Siku ile ilipita nikimtafakari mjomba na kikubwa tabia yake ya kupnda kuja jikoni kunishikashika ipo siku dawa yake itachemka. Kama zali nampanga hivyo nae huyu sijui katoroka kaxini namuona mapeema mchana amekuja akanikuta natoka jikoni napanga vyombo kabatini, alinishika makalio yangu.
"Naomba niache mjomba sitaki"
"Aaha mjomba nini sasa kwani kuna ubaya kukushika mjomba wangu" alijitetea mjomba kwa kuchekacheka uku anaendelea kuperuzi mwilini mwangu.
"Naomba niache sitaki ushike mwili wangu wew mwanaume vipi uoni aya khaa uridhiki na mkeo" nilijaribu kufoka sio kitoto tu.
"Utataka tu leo mbona namba badala ya kuisoma utaiandika"
Alinishika kimabavu kwakuwa alikuwa na nguvu nyingi kutokana na kuhudhuria gym aliweza kunilaza chini akanijia juu na kunilazimisha aninyonye maziwa kitendo ambacho sikutaka watambue kama nina ujauzito ila alinitoa kanga ya juu alifanikiwa kuona tumbo langu.
"Una mimba fatuma" alikuwa km mtu asiyeamini
"Kama uonavyo" nilijibu kwa mkato.
Alisimama akanitazama akaniuliza tena "huo ujeuri hautakusaidia, unamjua aliyekupa mimba?
Aliuliza ili kunivuta mimi kipindi hicho bado nina hasira zangu.
" hayakuhusu fanya kinachokuhusu fyooooooo" nilim...
Nilishtuka kibao cha nguvu nikaanguka chini nilishangaa mjomba anakuja juu na kunivua nguo kisha akaanza kuniingilia kimaumbile sikuwa na hisia kwa siku hiyo alitumia virainishi akaweka ili kutimiza adma yake mpka mwisho akanibusi na kunifuta manii yake kiukweli yalikuwa mengi mno.
"Nisisikie kwa shangazi yako ole wako" alinipa vitisho mjomba.
Nilikaa kimya km mtu alitengwa nisijue nini cha kufanya nilimuomba mungu anifanyie wepesi ili nisije nikadharirika mjini hapa na sikuwa na pa kwenda zaidi ni pale nilipofikia
****************
Nilifukuzwa kama mbwa na mjomba na shangazi siku hiyo nakumbuka ule mfuko niliokuja nao niliondoka nao pia sikuwa na cha maana cha kubaki mjini. Nilipanda gari nakumbuka liliandika ubungo tandika nilkuwa na kiasi cha pesa cha kutokea kijijini, nilishuka sehemu inaitwa sokota ilikuwa ni kwa haraka sana. "Mmmh mimi sasa nitaenda wapi muda huu? Nilizidi kusaga na njia na kile kijua cha dsm kilivyo kikali nilipumzika kwenye vile vibenchi vya stend nikikumbuka uko nilipotoka machozi yalianza kunitoka maisha yangu yalifunguliwa kurasa mpya ya matatizo.
Walipita watu wengi sana nikiwa pale ghafla nilisikia naitwa " kheeee nani huyo anayenijua huku?
Nilikuwa usingizini niliponyanyua macho kutazama sikuamini macho yangu alikuwa salum nakumbuka mara ya mwisho tuliachana bila kule kijijini na tuhuma nyingi eti sisi ni wapenzi nikaamua iu nije mjini.
"Mimi naishi hapo mbele nimepanga" aliongea salum
"Dah aya sawa salum tupo tunaangaika"
"Wewe unaishi wapi? Aliniuliza salum
" mimi niishi wapi naranda na njia hapa na tumbo langu"
"Mungu wangu fatuma tuondoke tutajua mbele ya safari"
Nilimtazama salum ule moyo wake nikainama chini nikaangalia fedha niliyoifunga kwenye kanga sikuona hata kanga nikalia sana mpaka raia walikuwa wanashangaa
"Ningefanyaje salumu kama usingekuwepo???
(Emmy na mama bakari/fatuma)
Nilijihisi kuumia mno kutokana na ile simulizi ya mama bakari nilikuwa sijui kama anaitwa fatuma nimemzoea kwa jina hilo la mama bakari nilimshika mkono huku machozi yakinitoka kama mtoto.
"Emmy uwezi amini mwisho mwa mwaka jana nilikutana na baba yangu nikamtamkia kumsamehe kabisa akamuona mtoto wake(bakari) ila baada ya miezi miwili alifariki" aliongea mama bakari uku analia ikabidi nianze kumbembeleza.
"Nyamaza dada pole mungu atakusaidia usilie"
"Emmy usije ukagombana na ndugu yako kisa mwanaume mimi huyu baba bakari huyu siye mwanae ni mtoto niliyezaa na baba yangu mzazi na sijawahi kuona ajimnyanyasa wala kumtenga hata nilipomzaa halima(mdogo wa bakari) bado ameonyesha upendo kwao wote"
"Ndio huyo salum uliyesema alikusaidia? Ilibidi niulize baada ya kutoamin labda huyu ni mwanaume mwingin
" ndio huyu salum au kwasababu kazoeleka kwa jina la baba bakari? Aliongea huku anatabasamu kidogo
"Ahaaa dah ni wanaume wachache wanaweza kufanya hivi mama bakari, kwani una miaka mingapi sasa hivi? Nilitokea kumpenda sana mama bakari
" nina miaka 21 sasa hivi nakumbuka bakari nilimzaa nikiwa na miaka 17 na huyu dada yake ni mwaka jana nikiwa na miaka20 ndio hivyo sasa tunapambana tukamilishe nyumba yetu mbande uko tuamie" alizidi kuongea mama bakari uku namsikiliza kwa makini.
"Haaa pole dada jamani unafanya kazi gani sasa?
Niliendelea na maswali mengi
"Nina kazi wapi zaidi ya ususi huo nikipata wateja wawili watatu nina elfu 60 nacheza na michezo minne hapa kwahiyo nina uhakika wa kila mwezi kupokea laki 3 hadi na nusu zote nazipelekwa kwenye ujenzi nasaidiana na baba bakari nae akiangaika akaa!! Tunasogeasogea" alionyesha cheko lako nami nikatabasamu pia
"Sasa dada nashukuru kwa ushauri wako japokuwa zamani nilikuwa nakuona mnoko na wale rafiki zako hasa mke mdogo wa mzee yule(mzee mashaka father house) nakushauri lakini ule urafiki sio mzuri na ukiangalia rika lako bado mdogo wewe wa kukaa na wale miaka 30 watakushauri nini zaidi ya umbea" niliamua kumpa la rohoni maana nakumbuka yeye na wenzake kipindi hicho walikuwa awanipendi mno
"Mmh mdogo wangu we acha tu, hivi kwani emmy una miaka mingapi? Aliuliza dada fatuma
" miaka ishirini nadhani nafikisha mwezi wa tisa"
"Kheee basi hatujapishana sana, ila mwenzangu yale makundi nimeshaachana nayo sasa ndio kama unavyoniona na hapa nikipata kazi tu mambo yatakuwa sawa" aliongea dada fatuma na kunipa akili
"Sikia nikwambie kitu mimi nina biashara zangu nina sambaza ubuyu kwenye supermarket na mwezi ulioisha nimefungua cafe ya kuuza vinywaji na vyakula mbalimbali nina ndoto za kuwa mjasiriamali mkubwa sasa niweke kwenye nafaka ila tatizo niliyempa asimamie ananiibia sana" aliongea kwa masononeko
"Nani tena??
Aliuliza mama bakari/fatuma
" si huyo salma anayeishi karibu na mtendaji"
"Kheeee yule jamani yule msichana anahonga yule sijawahi ona mbona alikuwa anamtaka baba bakari nimegombana naye juzi tu na yule mwanaume wako yule bonge(alibariki) nahisi anatembea nae" aliongea kwa mshangao mkubwa
"Aaha sawa naomba niende nitakutafuta dada, halima.mama njooo chukua ya soda hii" niliamua kupotexea ile mada maana nilijua yatakuwa mengine pale nilitoa noti mbili za elfu kumi nikampa halima mtoto wa mwisho wa fatuma/mama bakari.
****************
Katika maisha yangu nimejifunza vitu vingi hasa kuishi na watu vizuri fatuma/mama bakari akuwahi kuwa rafiki yangu alikuwa ni miongoni mwa maadui zangu ila historia ya maisha yake imenipa hatua moja mbele ya kutafakari ni wapi nilipotoka, nilipo na wapi nitaka kuwepo. Mtu ambaye nilimuona ni adui kwangu sasa anekuwa rafiki ila yule ninayekula nae na kuishi nae na kumpa siri zangu(salma) kumbe utoka na kuzitoa nje kasahau kuwa mimi ni emmy na sio salma na asichokumbuka pia mimi ni rafiki na hatuna bloody relationship/uhusiano wa damu hivyo muda wowote naweza kuamua nichukue hamsini zangy nae achukue zilizobaki kwenye mia moja. Kinachoniumiza zaidi ni kutumia nafasi ya urafiki na mimi kufuja pesa zangu kwa kuhonga wanaume, amesahau kuna maisha baada ya hapo ni bora angefuja pesa na kufungua biashara au kumalizia upande wa pili wa nyumba yao ulikosa kuezekwa hata kwa makuti ili yeyw haondokane na aibu ya kulala na wadogo zake wa kiume hali inayomlazimu anapotaka kubadili nguo kuwatimua nje wadogo zake.
Mimi emmy kwa kuona matatizo hayo nilikubari kumsaidia rafiki yangu wa utoto mpka ukubwani salma nikijua labda atabadili.
Haya ndio malipo ya salma sasa anatembea na elibariki, ameshanitia hasara ya zaidi ya milioni sita, kibaya zaidi anasambaza taarifa za uzushi kuwa mimi namroga mamdogo ili nipate pesa, je mimi emmy ningekuwa na akili za kufuja mali leo hii nisingesoma maana hapa nilipo namiliki nyumba japo ya kupewa na mwanaume yenye thamani zaidi ya milioni mia mbili, nina kiasi cha shilingi milioni 35 benki, nina usafiri binafsi japo nimepewa na mwanaume lakini bado sijadharau shule maana najua nilipotoka na siku zote najua kusimamia ndoto zangu.
Nilikaa huku machozi yananitoka nikimkumbuka salma ninayemjua mimi roho inaniuma, acha huyo sasa nakuja kwa huyu aliyezaliwa tumbo moja na mama mdogo wake wa mwisho/mama mdogo rose. Sikatai amenilea mpaka najitambua ila ilifikia wakati wa yeye na mimi kuungana ila siku zote akutaka, mara nyingi nimekuwa nikimsihi tuanzishe biashara au hata aje kijichi tuishi pamoja amekuwa akikataa sijui ni kwanini lakini kumbe jibu ni jepsi tu hata wewe mama mdogo unatembea na mkamwana wako ashilia mbali na wetu kutopishana saana ila bado haiondoi heshima kati yetu roho inaniuma kusikia nawe unashiriki kusema eti "emmy ananiroga ndio maana mambi yangu hayafanikiwi" nimekuwa nikikaa na kutafakari nikapata jibu kuwa elimu ni mkombozi na hapo ndio unaweza kumtofautisha aliyesoma na asiyeenda kabisa darasani na watu hawa wawili uwezi wao wa kufikiri hauwezi kuringana.
Emmy huyu wa leo sio emmy wa nyakati zile asiye na elimu, emmy yule alikuwa ana kifua akisikia jambo akawii kukurupuka na kwenda kumkanyaga aliyelizungumza kwa maneno makali yaliyojaa vitisho, na hilo baba mwenye nyumba analijua na wapangaji wengine, unajua ni kwanini? Siku mama bakari aliponisimulia juu ya tabia ya mama mdogo na salma alitegemea ningekasirika na kuwafata tayari kuharibu uhusiano lakini si hivyo nataka nihakikishe kwa macho yangu na si kuruhusu masikio yawe shahidi pekee..
***********
Baada ya kutoka hospitali jioni nilimchukua mama mdogo nikamrudisha nyumbani hapo nilipata fursa pia ya kuonana na salma nilifanikiwa kusikia kauli moja ambayo ilinichanganya "pole shoga yangu sikujua kama yamekukuta ya kukuta au ni zile pombe za juzi zilikuzidia? Mie unavyoona mguu huu ndio narudi nyumbani kutoka uko las vegas nimekesha, nimekunywa ila nimeliwa laki tisa na uchee japo nimepata jibosi limenihonga laki tatu siku hizi mbili" alisikika salma wakati huo nilitoka nje kujisaidia aja ndogo. Nilipoingia ndio ukimya ulitawala.
"Salma mzima" nilimsalimia
" nipo poa mambo best, poleni kwa kuuguza" alijibaraguza hapo nikimuangalia usoni kama kahaba amejipodoa hamna mfano na amevaa cheni za gold, eleni za gold chini vikuku vya gold na bangili za gold nilijawa na ghadhabu juu yake ila nikakituliza kifua changu
"Jamani me naenda kama kutakuwa na tatizo mama utanipigia naomba usikae kimya au usitume message wewe nipigie tu" aliongea nikamuachia kiasi cha fedha kama laki na nusu kisha nikawa naondoka
Kitendo kile kiliwachangaza hao wanaosema mimi simjali mamdogo wala kumtunza, kabla sijaingia kwenye gari nikamsikia salma anakuja kwa kukimbia
"Emmy emmy sikia nisubiri" aliita uku ana kimbia
"Samahani naomba niazime laki sita nitakurudishia jumanne" aliongea bila hata chembe ya aibu hajui wenzie tumeenda shuke kuliko anavyodhani
Nakumbuka wakati anamuahadhia mamdogo love alimwambia ameliwa laki tisa na kapata jamaa kamuhonga laki tatu hivyo nikimpa laki sita itakuwa laki tisa hivyo basi mwisho mwa wiki iliyoisha akuleta mahesabu ya biashara ambayo ni kama laki tisa na nusu kwa mawazo yake ile pesa nimpatie kisha afanye kama hesabu ya wiki hiyo. Nilicheka kidogo kisha nkamjibu
"Hesabu ujanipatia bado na ni laki tisa na nusu si ndio" nilimuuliza kwa mtigo maana wadaiwa wote waliniambia tayari wameshalipa
"Kheeenheeee ndio" alijibu kwa kigugumizi
"Sasa katika pesa hiyo uliyonayo nakukopesha hiyo laki sita unaweza kunipa laki tatu na nusu hapo? Niliamua kutumia ujanja
" aahaa ndio" alijibu pia kwa kusitasita huku anatoa pesakwenye poshi yake kulikuwa na laki tatu kamili zilizofungwa kwenye lababendi alinikabidhi na kurudi ndani kwa spidi nahisi alienda kumuazima shoga yake mama mdogo amuazime elfu hamsini
Dakika kumi nyingi alirudi akiwa na fedha hizo, akanipatia kisha nikamtazama alivyotokwa jasho
"Naomba ndani ya wiki ijayo uwe umenipatia hizo laki sita nilizokuazima" niliamua kuwa mkali
"Sawa lakini.."
"Nataka ndani ya wiki hii tafadhari hatutaelewana salma kuwa makini" niliongea nikaingia ndani ya gari na kuondoka.
Nilikuwa bado siamini kama love(mamdgo) na salma wanacheza kamari kwenye casino za hapa mjini nikawa nafikiria siku moha niwafumanie.
*************
Sikumpa tena mzigo salma nilifanya hivyo kwasababu niliitaji anirudishie fedha zangu kisha nimkabidhi rasmi kazi fatuma/mama bakari maana angalau yeye anajua maana ya maisha ni nini.
Jioni ya siku hiyo nilikuwa nimetoka darasani nikawa naondoka kurudi nyumbani niliona namba ngeni inaingia "mmmh nani tena huyu" nikapokea
"Hallo nani" niliuliza
"Kaka rafiki naongea" sikushtuka sana maana nilianza kumuelewa sana huyu kaka japo simjui ni nani
"Heee mzima kaka rafiki? Nikiongea kwa furaha
" emmy hapohapo ulipo njoo new africa hotel nipo na mama yako mdogo na rafiki yako salma hapa tunacheza kamari za nguvu" alinishtua kaka rafiki palepale nikageuza gari
Niliendesha kwa mwendo kidogo kuwahi huko casino maana nilikuwa natamani sana kujua salma na mamdogo love wana issue gani vinazowaunganisha, ndio kama bahati kaka rafiki akaniambia niwahi kule casino.
Pamoja na kuwa na foreni za hapa na pale nilibahatika kufika hiyo casino, sikujua cha kufanya maana sikuwahi kuingia casino toka nazaliwa ila kitu nilichokiwaza kwa wakati ule kwenye pochi nilikuwa na laki sita, sasa kwa vyovyote vile nikisema niingie nazo ninaweza kupoteza zote maana mambo ya kishwetani haya yana ushawishi mkubwa. Nilipiga hatua kama tatu mbele nikawa namkaribia mhudumu wa kiume aliyekuwa nje ya hotel ile kubwa ya kifahari nikamkumbuka kaka rafiki nikaamua kumpigia simu.
Simu iliita bila majibu nikawaza "huyu ameniingiza choo cha kiume nini?" Sikukata tamaa nikapiga tena mambo yakawa kama mwanzo simu haikupokelewa sasa wakati naendelea nilishangaa yule mhudumu anakuja kunifata.
"Hello madam welcome" alikuwa ni mkarimu mno km ni customer care ya hali ya juu
"Hello! Samahani kaka kuna mtu namsubiri hapa" niliamua kujidefend kidogo
"Anhaaa sawa ila kuna mtu ameniagiza kwako dada"
"Kheee! Kakwambia anaitwa nani? Niliuliza kwa mshangao kidogo
" ahaa hakunitajia jina ila kaniambia una watu wengine wawili pia mpo msafara mmoja" yule mhudumu alizidi kunishangaza ina maana huyo kaka rafiki yupo kweli mule ndani
"Unajua alipo huyo kaka? Niuliza kwa shahuku
" najua alipo" alijibu kwa haraka kidogo
"Nakusihi unipeleke" nilionyesha unyenyekevu
Safari hii hakujibu chochote aligeuka na kuanza kutembea mimi nae nikaanza kumfata nyuma nyuma kama mkia na mbuzi, cha kunishangaza ni atmosphere/hali ya hewa ya mule ilikuwa ni nzuri ajabu, zile lights/taa zilikuwa zinawaka mng'aro wa kipekee kiasi kwamba kama una saa unaweza usijue majira kabisa, kilichozidi kunishangaza ni jinsi tulivyokuwa tunateremka chini zaidi km andaki ni ngazi tu kushuka chini. Ilishukua takribani dakika nane kufika kule mandhari ilikuwa amazing, watu walikunywa na kucheza kamari kuna sehemu hasa zile zilizokuwa na machine za kuchezea kamari zilikuwa na mwanga ang'avu ila zile ila kule kwenye pembeni mwanga wake ulikuwa hafifu, nilimtazama yule mhudumu usoni nikamuona nae akinitazama mimi.
"Yupo wapi sasa kaka? Niliuliza
" alikuwa hapa mara ya mwisho sasa sijui kaenda wapi, labda msubiri hapahapa" alizidi kunishanganya yule customer care
"Hivi kaka rafiki mbona unanifanyia hivyo lakini, au utaki nikuone sura yako? Nilijisemea nikiwa nabembekeza machozi cha ajabu hata nikilia ili nionewe huruma bado mhusika hayupo ni bure tu ilibidi kujikaza
" dada kama unahitaji kinywaji caunter pale pia mambo mengine unaweza kuuliza pale" alinionyesha upande wa kulia niliokaa nikageuza shingo nikatazama sekunde kumi hazikufika nikageuza shingo kama awali sikujua niende wapi ila sasa nilipotazama mule kwa harakaharaka vinywaji vilivyokuwa vinanywewa ni whisky, savannah, champagnee na pombe nyingine kali, kwa akili yangu ya haraka haraka nikawa najua vyote vile vina kilevi hivyo niliwaxa kuagiza soda au juice za kopo au za glass nilianza kusogea taratibu huku kichwani nikiwa na mambi mengi yananitatiza. Kabla sijauliza kinywaji tayari nilipewa juice kwenye glass ndefu nyembamba "karibu dada" alinikarihisha dada aliyekuwa pale counter.
"Dada haina kilevi" ilibidi niulize kwa woga kidogo
"Noo ni juice hiyo dada" alijibu yule dada
"Sawa juice ila haina kilevi" niliuliza kwa mara nyingne maana sikuwa na imani kabisa
"Hapana hatuwezi kumpa mteja kitu asichokipenda hata hivyo ni mkaka mmoja ndio aliyekuja na kutuagiza tukupatie kinywaji hicho alivyosema pia km utahitaji chakula ameshalipia kadi yako hii hapa" aliongea hukuanatoa kadi kutoka kwenye droo zake kwa ndani
"Nashukuru, naweza kukaa popote dada" niliendelea kuuliza
"Yeah upo huru dada ubanwi"
"Asante nashukuru"
Nilirejea nikaketi sasa pembeni yangu kulikuwa na wadada wawili na mvulana mmoja na mwingine inavyoonesha ndiye alikuwa anacheza kamarialiyo mbele yetu kidogo, ni kamari ya machine ambapo unabonyeza namba ya bahati kisha unasubiri majibu yako, nilipotazama vizuri nilimuona kwa mbali mamdgo alaaaaa!! Bado kichwa hakikukaa sawa niimuona na salma pia alivyovaa mungu anajua wanaume walikuwa wanamshika makalio mara wanchezee maziwa yake, cha ajabu kuna jamaa alikuwa anacheza akashinda nahisi huyo ndio alikuwa bwana wake aliruka akambeba juu na kuanza kumnyonya ulimi kwa macho yangu nashuhudia, nilisikia vibration kwenye mkoba wangu nikajua napigiwa nikafungua zipu ya mkoba nikatoa simu alikuwa ni kaka rafiki.
"Yeah emmy"
"Mbona umendoka?
" emmy nimekuita uwaone ndugu zako mimi siku ya kuonana na wewe haijafika ikifika nitakuita sehemu ya heshima sio kama hapo" aliongea kaka rafiki
"Sawa hao watu nimeshawaona ila nitajua cha kufanya asante sana kaka rafiki ama kweli wewe ni zaidi ya rafiki" nilimsifia kidogo
Niliendelea kuongea mengi kumbe alishakata simu mimi sikujua.
***********"""
ITAENDELEAAA


USISAHAU KU LIKE PAGE YETU,BONYEZA LIKE BUTTON

No comments:

Theme images by pollux. Powered by Blogger.